"HAMJACHAGULIWA KUJA KUSHUGHULIKIA MTU" DC MWANSASU AWACHANA MADIWANI
Dec 5, 2025•Channel
AI Analysis
Data from YouTube Data API v3•Updated Just now
Video Overview
Video Details
Published7 months ago
Duration6:23
Video ID79-IbkM-x_8
Languagesw
CategoryNews & Politics
PrivacyPublic
Made for KidsNo
Video TypeRegular Video
Performance Metrics
Views685
Likes5
Comments0
Engagement Rate0.73%
Likes per 100 views0.73
Comments per 1K views0.00
Description
Mkuu wa wilaya ya Wanging'ombe mkoani Njombe Zacharia Mwansasu amewaonya madiwani wa halmashauri hiyo na kuwataka kujenga hoja kwa ajili ya maendeleo kuliko kwenda kushuhulikia watu waliokwazana nao.
Mwansasu ameeleza hayo wakati akizungumza na madiwani mara baada ya uapisho ambapo amesema wananchi wanasubiri maendeleo lakini sio migogoro baina yao na watumishi wa halmashauri.
"Wananchi huko nje wanasubiri mlete maendeleo katika yale mliyojinadi na hawasubiri kwamba katika halmashauri kuna mihongano kati ya watumishi na madiwani"amesema Mwansasu